Home > Terms > Swahili (SW) > Spika

Spika

Spika wa bunge ni kiongozi wa chama kilicho na wawakilishi wengi bungeni(pasiwe na utata na kiongozi wa wengi bungeni)

Yeye ana majukumu mawili kama kiongozi wa chama chake bungeni na tena kama afisa msimamizi ndani ya bunge mwenye jukumu la kudhibiti mijadala na kuongoza ajenda za kisheria bungeni.

Chini ya kifungu cha sheria cha Urithi wa Urais mwaka 1947,spika wa bunge ni wa pili katika urithi wa urais baada ya makamu wa rais.

0
Collect to Blossary

Member comments

You have to log in to post to discussions.

Terms in the News

Featured Terms

ongaka yusuf walela
  • 0

    Terms

  • 1

    Blossaries

  • 0

    Followers

Industry/Domain: Language Category: Grammar

lugha tenganishi

lugha tenganishi inaunda lugha za mofimu moja (yaani, kwa mzizi bila udogo) huwa zinatumia maneno fupi pale ambapo lugha nyingine inatumia neno moja ...

Contributor

Featured blossaries

Twilight Saga Characters

Category: Literature   1 11 Terms

Trending

Category: Education   1 37 Terms

Browers Terms By Category